Ben Pol - Warira Lyrics

Contents: Song Information
Ben Pol Warira

Warira Lyrics

Tatizo kina lake
Haliln’ kanki mdomoni
Taswira ya sura yake
Hain’toki kichwani
Mapenzi na raha zake
Nazi miss jamani
Matashititi mahaba yake
Aninyila raha ndotoni

Kama shida pombe
Niko tayari kuacha
Aje tuyamalize
Si sawa mi kuniacha
Kama shida pombe
Sigara naacha
Aje tuyamalize
Si sawa mi kuniacha

Funika kombe mwana haramu apite
Kosa gani kubwa lisisameheke
Niambie basi japo nijirekebishe
Hii hali inatesa nitakuja nife

Kama shida pombe
Niko tayari kuacha
Aje tuyamalize
Si sawa mi kuniacha
Kama shida pombe
Sigara naacha
Aje tuyamalize
Si sawa mi kuniacha


Ben Pol Songs

Related Songs